Laptop au wanapenda kuita Personal Computer (PC), ni kifaa muhimu sana kuwanacho hasa kwa kijana wa sasa anayekwenda na kasi ya Dunia katika nyanja mbalimbali za maisha.
Wengi wetu hatumiliki PC kwasababu ya kiuchumi tu ila ni muhimu sana, binafsi naona napungukiwa sana kutokuwa na PC hususani kukwama katika baadhi ya mambo yangu.