Swali zuriKwa nini Mayele alishindwa kuwapeleka Yanga Klabu Bingwa?
Ukiishajua maana ya klabu bingwa, utajua kwa nini
Mashindano ya CAF yaliochezwa na Yanga na Simba ni klabu Bingwa.Nadhani kama Wanasimba tujiulize ....kama magoli ya a saido siyo ya mchongo..... bahasha
Kwanini huyu mwamba wetu mzee saido alishindwa kutuokoa pale mjini CAF champions
Point of reference
Mayele kaiokoa Yanga kubeba ubingwa......na pale mjini CAF champions
NB: unapiga bomu mochwari unajisifu umeuaView attachment 2651548
Magoli gani wakati Yanga haijawahi kucheza club Bingwa tangia 1998? Au unahesabu yale waliyomfunga Zalan?😂😂Swali zuri
Kafuatilie Mayele ana goali ngapi pale club bingwa
Then + plus na magoli ya confederation,.....unaweza pata jibu
Wewe Jamaa sijui akili zako huwa zinaenda wapi.Aliwafunga Zalan hatua ya awali, hatua ambayo hata ufunge goli 1000 hakuna anaeshtuka halafu Wewe unataka tuyahesabu mbaya zaidi Zalan ni Rhino rangers ya sudani.Swali zuri
Kafuatilie Mayele ana goali ngapi pale club bingwa
Then + plus na magoli ya confederation,.....unaweza pata jibu
Ndo saido ashindwe hata kufikisha goali hata nneMashindano ya CAF yaliochezwa na Yanga na Simba ni klabu Bingwa.
Yanga hawakufika hata makundi
Simba walifika robo fainali.
Haya mashindano ya Shirikisho hayakuchezwa na Simba kwasababu hadhi ya mashindano ni ya chini ukishindwa klabu Bingwa ndio unaenda kidogo kwenye viwango vya chini.
Hivyo Mayele hakuwasaidia Yanga kwenye klabu Bingwa walitolewa mapema sana.
Lkn unajua kule alifunga magoli manga????Unadhani kule walikuwa wanacheza na timu zinazoshuka farajja kama mlizokutana nazo ninyi? Anyways, ngoja na mimi nikuulize swali, kwanini Mayele alishindwa kuwavusha hatua ya makundi mpaka mkatolewa na Al Hilal ya Sudan kwenye Club bingwa?
Aaahhh magoli ha mchongo kila mtu akipata mpira anampigia Saidoo kweli kutoka lengo kuwa Bingwa hadi kiatu ndio target team ....msimu mzima? Jamaa katia 5bil.....mnajigamba kwa kiatu Hahahaha kweli makolo mmeshikwa pabayaNadhani kama Wanasimba tujiulize ....kama magoli ya a saido siyo ya mchongo..... bahasha
Kwanini huyu mwamba wetu mzee saido alishindwa kutuokoa pale mjini CAF champions
Point of reference
Mayele kaiokoa Yanga kubeba ubingwa......na pale mjini CAF champions
NB: unapiga bomu mochwari unajisifu umeuaView attachment 2651548