Mnafanya wqtu waogope kuoa sasa.. yaani nimepigika miaka 10. Nimeoa zangu mke hana kitu tofauti na vitenge alivyo pewa kwenye sendoff (harusi za uswahilini ) halafu siku tumeachana tugawe mali sawa.
Kama anataka tugawe sawa basi inabidi wote tuanze from scratch. Tushinde njaa pamoja, tulalie mkeka, tubebe zege pamoja.
Binafsi namuonea huruma sana Jeff wa Amazon