Daaaah yaaani ule m-panel utadhani watazamaji wa mdundiko au mazingaombwe.Hatari tupu maana nilipigwa bumbuwazi moja hatari sana......MUNGU NA UNITANGULI NIPITE KWA KISHINDO.Amen!
Daaaah yaaani ule m-panel utadhani watazamaji wa mdundiko au mazingaombwe.Hatari tupu maana nilipigwa bumbuwazi moja hatari sana......MUNGU NA UNITANGULI NIPITE KWA KISHINDO.Amen!
Daaaah yaaani ule m-panel utadhani watazamaji wa mdundiko au mazingaombwe.Hatari tupu maana nilipigwa bumbuwazi moja hatari sana......MUNGU NA UNITANGULI NIPITE KWA KISHINDO.Amen!
Mie nilikuwa ya tarehe 10 ndugu fungua dimba sie......na waliudhuria wasailiwa 143 wakatega kama 57 hivi!!.......ndo tunasubiria matokeo yao sijui yatatoka lini ka nikupiga jaramba watu wakapige maana kitaa ni hatari tupu....wacha tukapigwe hiyo mipara na kuparuza mizuzu!
Mie nilikuwa ya tarehe 10 ndugu fungua dimba sie......na waliudhuria wasailiwa 143 wakatega kama 57 hivi!!.......ndo tunasubiria matokeo yao sijui yatatoka lini ka nikupiga jaramba watu wakapige maana kitaa ni hatari tupu....wacha tukapigwe hiyo mipara na kuparuza mizuzu!