Kwa Nini CCM Inango'ka?

Nitakuwa sijakutendea haki kama nikipita kimyakimya Ocampo four wewe ni jembe la ukweli, na katika mabadiliko ya nchi hii na wewe utakuwepo kama shujaa uliyeyapigania..
Hongera sana.
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi changia hata siku moja hapa jamvini lkn nimekuwa msomaji sana wa mada mbali mbali. Lkn hii ya leo nafsi inanisuta nisipotoa HESHIMA KWAKO Big up sana
Ndo mana hujawahichangia kwa maana huna hoja. Hiyo analysis haina lolote kwani kama mnataka mabadiliko kutoka wapi! Kwa mamvi au Sumuye. Hamjui kuwa wagombea wawili wenye nguvu wote ni wa ccm.
 
Kwa kutumia huyo mgonjwa na bubu, na huyu mwingine waziri mkuu zero, mtasubiri sana
 
Nitakuwa sijakutendea haki kama nikipita kimyakimya Ocampo four wewe ni jembe la ukweli, na katika mabadiliko ya nchi hii na wewe utakuwepo kama shujaa uliyeyapigania..
Hongera sana.
Mnaweweseka tu hakuna kama Magufuli. Hawa wengine ni wasindikizaji.
 
...maisha ni mabadiliko na mabadiliko ndio maisha...twende na UKAWA kwenye mabadiliko...
 
Nitakuwa sijakutendea haki kama nikipita kimyakimya Ocampo four wewe ni jembe la ukweli, na katika mabadiliko ya nchi hii na wewe utakuwepo kama shujaa uliyeyapigania..
Hongera sana.
Mnaweweseka tu hakuna kama Magufuli. Hawa wengine ni wasindikizaji.
 
Mnaweweseka tu hakuna kama Magufuli. Hawa wengine ni wasindikizaji.

Magufuli hauziki Mkuu, Chama anachokisimamia hakiuziki kwa sasa Mkuu... Infact, ni ngumu sana kwa Magufuli kushinda....

Hili wimbi la mabadiliko ni ngumu sana kulizuia. Nchi nyingi zilijaribu ila walishindwa. Vyama vingi vilijaribu ila vilishindwa....
 
Kwa kutumia huyo mgonjwa na bubu, na huyu mwingine waziri mkuu zero, mtasubiri sana

Mpaka sasa hamjajibu swali la Sumaye.... Kama Magufuli si mgonjwa mbona mara kwa mara anaenda kutibiwa moyo Ulaya?
 

Hata mimi sasa naamini kuna vuguvugu kubwa mno la mabadiliko kwa kile nilichokishuhudia jana Mbeya Vijijini.

Ni akina mama katika majadiliano yao kwenye kikundi fulani nikagundua wana ari kubwa sana na wamemuelewa Lowassa. Nimeshangazwa.

Na Ocampo umefanya kazi kubwa wengi wenye akili zetu tumeona, tutakuombea.
 

Kama nimekuelewa vizuri mkuu ocampo, unamaanisha kuwa kuna hali ya kuchoka kisaikolojia ambayo inaonekana hata kwenye siasa pale mazingira yanapokuwa hayohayo kisiasa na watu watatafuta sababu yoyote kuyabadilisha. Nadhani pia ndio maana wenzetu wamarekani na waingereza sikuzote kuna vyama viwili ambavyo karibu vina nguvu sawa, ili wakichoka wanatoa hiki wanaweka kile, inatokea automatically lakini inanguvu sana, ndio maana nasisi ni lazima tuweke ukawa kiwe chama cha pili kwa nguvu nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…