Yasser Kagire Member Joined Apr 12, 2013 Posts 31 Reaction score 21 Nov 30, 2018 #1 Habari zenu wakuu, Kama unashughuli yako iwe Harusi, Send off, Msiba au Sherehe ya aina yoyote na unatafuta wapishi wa chakula kitamu na kuvutia, basi jibu lako ni MAMA JAMILA. Wasiliana nasi kwa namba 0716948602. Huduma popote inakufikia
Habari zenu wakuu, Kama unashughuli yako iwe Harusi, Send off, Msiba au Sherehe ya aina yoyote na unatafuta wapishi wa chakula kitamu na kuvutia, basi jibu lako ni MAMA JAMILA. Wasiliana nasi kwa namba 0716948602. Huduma popote inakufikia
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,588 Reaction score 81,562 Nov 30, 2018 #2 Huduma inafika popote? Acha masihara chief. Hebu taja upo mkoa gani. Maana naweza kufanyia harusi yangu katika sayari ya Mars sasa sijui kama huko mnaweza kuja kupika au kuleta huduma!
Huduma inafika popote? Acha masihara chief. Hebu taja upo mkoa gani. Maana naweza kufanyia harusi yangu katika sayari ya Mars sasa sijui kama huko mnaweza kuja kupika au kuleta huduma!
mr mkiki JF-Expert Member Joined Sep 22, 2016 Posts 5,723 Reaction score 11,934 Nov 30, 2018 #3 Kama nataka anipikie nyumbani Mimi mwenyewe vipi? Huduma hivyo ipo
google helper JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 9,667 Reaction score 13,872 Nov 30, 2018 #4 Sawa tangazo ni vizuri useme na location ya ofisi zenu.
Yasser Kagire Member Joined Apr 12, 2013 Posts 31 Reaction score 21 Nov 30, 2018 Thread starter #5 chaliifrancisco said: Huduma inafika popote? Acha masihara chief. Hebu taja upo mkoa gani. Maana naweza kufanyia harusi yangu katika sayari ya Mars sasa sijui kama huko mnaweza kuja kupika au kuleta huduma! Click to expand... [emoji1] [emoji1] acha utani mkuu, Mars tena!!.? Sisi tunapatikana Dar Es Salaam.
chaliifrancisco said: Huduma inafika popote? Acha masihara chief. Hebu taja upo mkoa gani. Maana naweza kufanyia harusi yangu katika sayari ya Mars sasa sijui kama huko mnaweza kuja kupika au kuleta huduma! Click to expand... [emoji1] [emoji1] acha utani mkuu, Mars tena!!.? Sisi tunapatikana Dar Es Salaam.
Yasser Kagire Member Joined Apr 12, 2013 Posts 31 Reaction score 21 Nov 30, 2018 Thread starter #6 mr mkiki said: Kama nataka anipikie nyumbani Mimi mwenyewe vipi? Huduma hivyo ipo Click to expand... Ni wewe tu mkuu maana kila kitu lazma uangalie maslahi kwanza.
mr mkiki said: Kama nataka anipikie nyumbani Mimi mwenyewe vipi? Huduma hivyo ipo Click to expand... Ni wewe tu mkuu maana kila kitu lazma uangalie maslahi kwanza.
Yasser Kagire Member Joined Apr 12, 2013 Posts 31 Reaction score 21 Nov 30, 2018 Thread starter #7 google helper said: Sawa tangazo ni vizuri useme na location ya ofisi zenu. Click to expand... Samahani sana kwa kusahau jambo hilo muhimu.. Tupo Chamazi Dar Es Salaam
google helper said: Sawa tangazo ni vizuri useme na location ya ofisi zenu. Click to expand... Samahani sana kwa kusahau jambo hilo muhimu.. Tupo Chamazi Dar Es Salaam
mr mkiki JF-Expert Member Joined Sep 22, 2016 Posts 5,723 Reaction score 11,934 Nov 30, 2018 #8 Yasser Kagire said: Ni wewe tu mkuu maana kila kitu lazma uangalie maslahi kwanza. Click to expand... Mimi tu
Yasser Kagire said: Ni wewe tu mkuu maana kila kitu lazma uangalie maslahi kwanza. Click to expand... Mimi tu