Ukawa kila mbinu inafeli
1.Walimsimamisha Lowassa, wakamtupa Dr.Slaa -wamefeli
2.Wakamdanganya babu Duni atoke CUF ahamie CDM hata hivyo -wamefeli
3.Wakawadanganya Sumaye na Kingunge waamie Ukawa still -wamefeli
3.Wamedeki barabara za lami ili Lowassa apite -wamefeli
5.Wamekodi vijana wa Mtandao -wamefeli
6.Wamezomea zomea bungeni lakini hotuba ya Magufuli imefunika -wamefeli
7.Walidhani Ndugai ni yule wa mwaka jana atawavumilia -wamefeli
8.Wakawadanganya wananchi eti kura za Lowassa zimeibiwa wakaona kimya -wamefeli
9.Wamesusia sherehe za kuapisha wakidhani ACT wataunga mkono - wamefeli
10.Wameleta Ole Medeye na Sakaya -wamefeli