hadi dk.45 kipindi cha kwanza man city wanaongoza kwa 2-0! Dhidi ya man utd! Magoli yote ni uzembe wa kipa,na mimi toka wakati anasajiliwa nilitia shaka sana.wapenzi wenzangu wa man utd kazi tunayo!hamna ki2u mle.mpira tunacheza sisi wakiachia shoot goli!