Polisichadema wameamua kumbeba mzee slaa bila polisi chadema babu leo angeipata.
Wamechoka kutumika na walafi ccm, sasa wamejitambua vema! ccm bye bye 2015
Ni kweli mkuu hawa chadema wametia aibu kweli siasa za kilaghai zinamwisho sasa jamii inawaona kweupe kabisa.Simiyu Yetu, Kweli siasa za kilaghai ndio matokeo yake! Wameeneza sana chuki kati ya police na wananchi, leo hii hao hao policcm ndio wanaowaokoa! Kweli kile kibabu ni laghai na ndio maana utumishi wa mungu umemshinda!