COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,596
- 3,639
Chadema waliwabatiza Police kwa kuwaita POLICMM baada ya Police kuwa wanayazuia maandamano yao. Tumeshuhudia huko Kigoma Police wanasaidiana na Wafuasi wa CHADEMA kudhibiti wafanya fujo kwenye mkutano wa Dr slaa. Sasa hapa tusemaje waungwana? Police wamegeuka kuwa Polichadema. Nimeamini ule usemi usemao USITUKANE WAKUNGA NA UZAZI UNGALIPO.