LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
that's wise+10 to the boss. dada
akikupa namba haimaanishi ndio umepata ruhusa ya kummega likewise
ninapoomba namba ya dada bado sijapanga (in my head) kuwa tutakuwa kitu
zaidi, its too early to plan that on day one. don't count your chickens
before the eggs hatch, utatengeneza scenario in your head ambayo sio
real.
kuna wengine akikupa namba ndo 'amekubali' tongozo
kuna wengine anakupa namba kama njia ya 'kukufukuza kwa haraka' ukipiga hapokei
kuna wengine anakupa namba 'ili muwasiliane zaidi' kabla ya kukubali tongozo
kuna wengine anakupa namba kikazi zaidi,kiofisi au kibiashara zaidi,hataki mapenzi\
kuna wengine 'uarafiki tu wa kawaida'...
kuna wengine akikupa namba ndo 'amekubali' tongozo
kuna wengine anakupa namba kama njia ya 'kukufukuza kwa haraka' ukipiga hapokei
kuna wengine anakupa namba 'ili muwasiliane zaidi' kabla ya kukubali tongozo
kuna wengine anakupa namba kikazi zaidi,kiofisi au kibiashara zaidi,hataki mapenzi\
kuna wengine 'uarafiki tu wa kawaida'...
Mazungumzo ya dakika 2 alafu binti unatoa namba ni kujitafungulia usumbufu usio wa lazima
kuna wengine akikupa namba ndo 'amekubali' tongozo
kuna wengine anakupa namba kama njia ya 'kukufukuza kwa haraka' ukipiga hapokei
kuna wengine anakupa namba 'ili muwasiliane zaidi' kabla ya kukubali tongozo
kuna wengine anakupa namba kikazi zaidi,kiofisi au kibiashara zaidi,hataki mapenzi\
kuna wengine 'uarafiki tu wa kawaida'...
Wana JF,
Mwaume unakutana na binti/dada/mwanamke kwenye mizunguko yako ya kimaisha.
Katika kuongea ongea naye, unaomba namba ya simu ya binti/dada/mwanamke.
Katika kuomba simu,
Baadhi ya wanawake hutoa namba zao bila hiyana hata kama mumezungumza kwa dakika mbili tu.
Kwa upande mwingine, baadhi ya akina dada hukataa kutoa namba zao za simu kwa sababu zao binafsi.
Maswali,
Binti/dada/Mwanamke anapotoa/kutotoa namba yake ya simu huwa anatoa ujumbe gani kwa muombaji?
Na akina dada huwa mnajisikije kutoa/kutotoa namba za simu zenu kwa wanaume ambao mumezungumza nao dakika mbili tu?
Wanaume huwa mnajiskiaje binti/data/mwanamke akikupa/akikunyima namba yake ya simu?
Karibuni wanaJF, tushare uzoefu.
kuna wengine akikupa namba ndo 'amekubali' tongozo
kuna wengine anakupa namba kama njia ya 'kukufukuza kwa haraka' ukipiga hapokei
kuna wengine anakupa namba 'ili muwasiliane zaidi' kabla ya kukubali tongozo
kuna wengine anakupa namba kikazi zaidi,kiofisi au kibiashara zaidi,hataki mapenzi\
kuna wengine 'uarafiki tu wa kawaida'...
Mie ukiniomba ntakwambia nipe yako ukinipa ukiondoka naichana.
Mie ukiniomba ntakwambia nipe yako ukinipa ukiondoka naichana.