The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Kama unachoka kutumia deodorants mie nakua sikuelewi unajua!ina maana hata ndevu nazo umechoka kunyoa, na kuoga nako,na kupiga mswaki nako,na kufua chupi kila unapo oga, na kupaka perfume,na kunawa uso kila unapo amka na hata kula pia nadhani itafikia siku utachoka, acha uvivu bado sikuelewi kabisa.:rant:
Wadau naombeni msaada wa kujua dawa ya kutibu harufu ya kikwapa permanently, nimechoka kutumia deodorants daily, naomba anaefahamu dawa yeyote whether mbadala au kawaida, pliiiz, with thaks!
Paka Petroli!.
Hii imekaa poa.
Ukiona Hivyo ujue unasumu nying mwilini tatzo haliko liko ndani so fanya kazi ya kutoa sumu mwilini kwa kunywa chai ya kijan i mean ya mchai chai au dozi ya malimao 120 af utaona!![/QU] au akiweza atumie ile aloe vera gel kwa ajili ya kuondoa sumu mwilini,na kutibu magonjwa mengine.
Hahaha mwambie huyo jamaa inaelekea hajui lolote kwenye sekta hii, hawa ndo wanao megewa hawa
pole sana....naweza nikakwambia kuwa hali uliyonayo kwa sasa naielewa na kero zake pia...hiyo inaitwa hyperydrosis (sina uhakika kama nimepatia spelling) kwa hiyo unaweza kutumia kitu kinaitwa Driclor,hii unapaka usiku tuu,na inapatikana kwenye pharmacy kubwa kubwa,kama utahitaji maelekezo zaidi igoogle, na ukiitafuta ukiikosa nitafute
thanx again na ubarikiwe kwa kushare nasi hicho ulichonacho na endelea kuwa na huo moyo.....
Kwa wenye hilo tatizo hiyo dawa ni ya ukweli sana tu,binafsi nimeipata na imenisaidia sana,PRETA MUNGU AKUBARIKI,kwani jasho limekata kabisa
papizo mungu akubariki kwa ushirikiano ulionipa mpaka nimeipata,yani imekausha jasho kabisa