Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,202 Reaction score 99,941 Jul 13, 2013 #2 duh kademu kalikua kakali mwanangu, usipime
Nyamgluu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2006 Posts 3,160 Reaction score 1,727 Jul 13, 2013 #3 Dah mapenzi ya kweli bana yana raha yake sanaaaa!
Mtingaji JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 1,223 Reaction score 367 Jul 14, 2013 #4 Pozi la Rais wa Dunia ni nouma!
F fortune112 Member Joined Oct 18, 2012 Posts 8 Reaction score 2 Jul 14, 2013 #5 Si mchezo! Safi sana...
A agosti 8 JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 3,575 Reaction score 2,582 Jul 14, 2013 #6 daah safi sana mkuu ..inaonekana hapo ni Kenya nini? Mbona hizo nambari za gari hapo ni za kikenya? ..kuna kigari KQA 103..enzi hizo alikuwa anawatembelea kama kawaida..sasa imebaki historia.
daah safi sana mkuu ..inaonekana hapo ni Kenya nini? Mbona hizo nambari za gari hapo ni za kikenya? ..kuna kigari KQA 103..enzi hizo alikuwa anawatembelea kama kawaida..sasa imebaki historia.
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Jul 14, 2013 #7 Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,293 Jul 14, 2013 #8 Preta said: Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........ Click to expand... Teh! Teh! Teh!
Preta said: Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........ Click to expand... Teh! Teh! Teh!
LexAid JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,931 Reaction score 774 Jul 14, 2013 #9 Preta said: Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........ Click to expand... Halafu walimzarau alipokua Governer..
Preta said: Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........ Click to expand... Halafu walimzarau alipokua Governer..
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,409 Jul 16, 2013 #10 Preta said: Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........ Click to expand... wanataka aende akiwa Rais Kipindi kile alienda akiwa Serengeti boys ,future haijajulikana itakuwaje🙂
Preta said: Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........ Click to expand... wanataka aende akiwa Rais Kipindi kile alienda akiwa Serengeti boys ,future haijajulikana itakuwaje🙂
OLESAIDIMU JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 19,139 Reaction score 9,574 Jul 16, 2013 #11 Tujadili kwamba wametoka mbali au kwa sababu ni Mkuu wa nchi then kila lake ni debatable!!!!!