Wameingia mitini. Swala nnalojiuliza, ilikuwaje namba ya tapeli, ionekane kwenye phonebook ya mfanyakazi wangu, kama Mama BOSS, wakati mke wangu hana namba hiyo?. Kwa ufupi, kwenye phonebook ya simu hiyo, Mama BOSS anaonekana kuwa na namba mbili. Ya tapeli na ya kwake halali. Ajabu!