Ajira zote za polisi,magereza, jwtz,usalama,uhamiaji,wanyamapori, na nyingine za namna hiyo utaratibu mpya ni kwamba tunachukua vijana kutoka jkt.asikudanganye mtu yeyote kukufanyia mpango upate nafasi bali kinachotakiwa subiri nafasi za jkt zikitoka au maelekezo mengine yakitoka kutoka ktk vyombo husika
Sent using
Jamii Forums mobile app