TOURMALINE
Senior Member
- Jan 4, 2013
- 125
- 24
Mi ni mwanachama wa chadema nikiwa mjumbe wa chama jimbo mojawapo la mkoa wa dar.Nina matarajio ya kuomba nafasi kugombea ubunge jimbo la same magharibi.Kwa bahati mbaya wazee wa jimbo hili wameniambia kama nataka kuwa mbunge wao basi niwe mwanachama wa ccm.Naomba ushauri wenu Nawasilisha hoja
kwa kuwa wanaonekana kukuamin jaribu kuwaelewesha kama ubora wa kiongozi sio chama bali ni uwezo wa mgombea bila kuangalia chama alichopo. lakin kitu cha pili waelimishe kuhusu sera za Cdm zilivyo nzuri na bora kwa maendeleo ya wanasame.Mi ni mwanachama wa
cCHADEMA nikiwa mjumbe wa chama jimbo mojawapo la mkoa wa Dar.Nina
matarajio ya kuomba nafasi kugombea ubunge jimbo la Same Magharibi.
Kwa bahati mbaya wazee wa jimbo hili wameniambia kama nataka kuwa mbunge
wao basi niwe mwanachama wa CCM.
Naomba ushauri wenu
Nawasilisha hoja
Mi ni mwanachama wa cCHADEMA nikiwa mjumbe wa chama jimbo mojawapo la mkoa wa Dar.Nina matarajio ya kuomba nafasi kugombea ubunge jimbo la Same Magharibi.
Kwa bahati mbaya wazee wa jimbo hili wameniambia kama nataka kuwa mbunge wao basi niwe mwanachama wa CCM.
Naomba ushauri wenu
Nawasilisha hoja
Wewe unataka ubunge au kuwatumikia wananchi? Kama unataka ubunge fanya kama wazee walivyokushauri ila uwe na pesa za kutosha kwani utauziwa ubunge. Kama unataka kuwatumikia wananchi pitia cdm.Fuata ushauri wa wazee. Na Same Magharibi, CHADEMA haipo kabisa...
Wewe unaonekana unautaka ubunge kumaliza njaa zako