F francvenet Member Joined Apr 26, 2011 Posts 14 Reaction score 0 Oct 28, 2011 #1 Hivi kudai haki ni uvunjifu wa amani?manake wanaodai haki siku zote wanatajwa kuwa wanahatarisha amani
Hivi kudai haki ni uvunjifu wa amani?manake wanaodai haki siku zote wanatajwa kuwa wanahatarisha amani
S Sting007 JF-Expert Member Joined Jul 27, 2011 Posts 274 Reaction score 43 Oct 28, 2011 #2 Hii ndo Tanzania na Mtazamo wa Viongozi Wanaolindana na kujali Maslai yao zaidi wanavyoamua.
V valid statement JF-Expert Member Joined Sep 18, 2011 Posts 2,855 Reaction score 889 Oct 28, 2011 #3 ndio mitazamo ya nchi zetu izo. Ukidai haki yako ni kama uliyeshtuka toka usingizini. Hivyo unaleta usumbufu wa kuamsha wengine wote waliolala. Ukitaka kujua kudai haki ni uvunjifu wa amani, fanya kazi serikalini, afu dai arrears zako.
ndio mitazamo ya nchi zetu izo. Ukidai haki yako ni kama uliyeshtuka toka usingizini. Hivyo unaleta usumbufu wa kuamsha wengine wote waliolala. Ukitaka kujua kudai haki ni uvunjifu wa amani, fanya kazi serikalini, afu dai arrears zako.