Nilitamani kuwa mwanajeshi hasa kikosi cha rada au mizinga.Ila umri na kipengele cha 'awe hajaoa' vinanipiga nje.Nasikitika hakuna hata nafasi za kujitolea,ila fursa nikiipata hata leo nitachapa kazi hakuna mfano.Mara nyingine huwa ninadhani mimi ni mwanajeshi rohoni kasoro kuthibitishwa.
Nilipokua mdogo nilipenda sana nije kuwa mwalim wa shule lakin baada y kufika elimu y sec.ndoto zote ziliharibika kwan ckuchaguliwa kati ya wale waliofaulu,lakini sikukata tamaa nikaanza kujifunza mafunzo ya computer mtaani kwani sikupata pesa ya kwenda kujifunza iyo corse katika vyuo husika
Ila nashukuru mungu nahisi ninauwezo mkubwa wa kufanya kazi popote kwa kutumia computer ingawa sina cheti.Naweza kufanya video shooting &edditing,music production,stational services(typing,printing,lamination) na kazi zngne nyingi,kama Mtanzania mwenzangu nokuomba unisaidie ili nipate kazi hata katika campuni binafsi huku mtaani maisha ni magumu.
Nilipokua mdogo nlipenda sana kuwa daktari au injinia.. hizo ndio fani nlizopenda sana!! Nashkuru Mungu kwan soon ntakua injinia na nnashkuru mungu kwan soon soon ntatimiza ndoto yangu.. !!! Safari si rahis ila one day mambo yatakua sawa hasa nikiwa naamini hakuna kosa kubwa kama kukata tamaa!!!