mbona unachanganya mada ndugu!ndio maana kuna mchina nanuza 1.2 inategemea na uwezo wako pia Pikipiki kama hii wananunua wapenzi wa pikipiki lazima ujue kuendesha pikipiki pili usiwe na kipato kidogo spare zake ni bei chain ikatika bei yake ni sawa na carina ti yako usije ukajichanganya