Ni kozi inayohusu kuwa daktari wa macho, ipo pouwa lakini bachelor yake inatolewa KCMC peke yake, na KCMC wamepigwa BAN sasa wwwe unataka ukaaome wapi? Au upo nje ya nchi?
Ni kozi inayohusu kuwa daktari wa macho, ipo pouwa lakini bachelor yake inatolewa KCMC peke yake, na KCMC wamepigwa BAN sasa wwwe unataka ukaaome wapi? Au upo nje ya nchi?