Maafisa wa Marekani wanaamini kwamba Korea kaskazini ilitekeleza jaribio jingine la mashine ya kurushia makombora yake .
Jaribio hilo linadaiwa kutekelezwa siku ya Jumatano litakuwa jaribio la kwanza la mashine kama hiyo kutekelezwa na Korea Kaskazini tangu mwezi Machi.
Mashine hizo zinaweza kutumika katika kurusha satelaiti angani, lakini maafisa wa Marekani wana wasiwasi teknolojia hiyo inajaribiwa kutengeza kombora linaloweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine.
ujue hiyo vita sio ya mataifa mawili tu, tenA inaweza kuwa WW3..... fuatilia taarifa za vita vya syria utaona jinsi wababe wa dunia wanavyoonyeshana ubabe...
Zile meli za kimarekani laini laiiiniii bado zipo rasi ya korea? Mana kim kasema kuzipiga makombora ni uharibifu wa silaha dawa ni kuzigonga tu kama ile ya juzi
Zile meli za kimarekani laini laiiiniii bado zipo rasi ya korea? Mana kim kasema kuzipiga makombora ni uharibifu wa silaha dawa ni kuzigonga tu kama ile ya juzi
kuna koment ya mdau mmoja alinichekesha sana kuhusu hz mambo zakujaribu jaribu wanaweza jaribu makombora yakafika hadi kwenye sayari nyingine kumbe huko kuna watu nako tutakuja kupokea kichapo dunia nzima kwan jamaa hawatahitaji kujua limetokea china au usa ni wazo fikirishi sana
kuna koment ya mdau mmoja alinichekesha sana kuhusu hz mambo zakujaribu jaribu wanaweza jaribu makombora yakafika hadi kwenye sayari nyingine kumbe huko kuna watu nako tutakuja kupokea kichapo dunia nzima kwan jamaa hawatahitaji kujua limetokea china au usa ni wazo fikirishi sana
Zile meli za kimarekani laini laiiiniii bado zipo rasi ya korea? Mana kim kasema kuzipiga makombora ni uharibifu wa silaha dawa ni kuzigonga tu kama ile ya juzi
Hahahaa sasa kaangalie hiyo ya putin ilikua sio meli vita ilikua ya kijasusi tu kama za kiraia tu lakini marekani wao wana za kivita ila laaaaiiiiiniiii nina uhakika za abiria zitakua bora zaidi kuliko