Habari za muda huu ndugu wadau kompyuta yangu ina tatizo la window inasemekana BIOS ina password ina sababisha kupiga window mara tatu tu. Baada ya hapo inakuwa inashindwa kuwa mpaka nitoe disc nipige kwa kutumia kompyuta nyingine.
Naomba nisaidiwe namna ya ku unlock hiyo ili niweze kubadilisha bila kuweka kwa kompyuta nyingine
Habari za muda huu ndugu wadau kompyuta yangu ina tatizo la window inasemekana BIOS ina password ina sababisha kupiga window mara tatu tu. Baada ya hapo inakuwa inashindwa kuwa mpaka nitoe disc nipige kwa kutumia kompyuta nyingine.
Naomba nisaidiwe namna ya ku unlock hiyo ili niweze kubadilisha bila kuweka kwa kompyuta nyingine
Habari za muda huu ndugu wadau kompyuta yangu ina tatizo la window inasemekana BIOS ina password ina sababisha kupiga window mara tatu tu. Baada ya hapo inakuwa inashindwa kuwa mpaka nitoe disc nipige kwa kutumia kompyuta nyingine.
Naomba nisaidiwe namna ya ku unlock hiyo ili niweze kubadilisha bila kuweka kwa kompyuta nyingine
Ukijaribu kuboot Windows kwenye hiyo PC yako inakuuliza BIOS Password? Kama haikuulizi password then tupe details za error message ambazo inazitoa kabla ya kutoa hiyo "disk" (nadhani unamaanisha hard disk)..
Je hiyo PC umenunua dukani au kwa second hand?