Samahani sana kama nilikukwaza sikutegemea mazungunzo ya nje ya jf kama ungeyaleta hapa kuhusu bei inategemea na demand bishara ni maelewano sio ugonvi hali ningumu pandezo zote kwa mnunuzi na muuzaji wote tuko ndani ya nchi kuhusu garama za serekali za mitaa nilazima zilipwe ili upate umili wa eneo kisheria na sio hella nyingi,mwisho kuhusu simu sikua na vocha kwenye kipindi ambacho tulikutana kama ungeniuliza ningekueleza palepale naomaba tuyamali nje ya jf tufanye biashara kiwanja bado kipo samahani sana.