Mkuu kama upo tayari kipo kimoja Mbezi kwa Msumi huku ni cha 20 kwa 20 nacho chaanzia mil 5 za Kitanzania na ni ruksa kuja kukiona na kujiridhisha kabla ya manunuzi kufanyika,toka mbezi mwisho ni dak kama 7 mpaka 10 hivi,na nauli ni 500 kwa Noah,karibu mkuu unaweza kuni Pm hapo