K king90 JF-Expert Member Joined Apr 18, 2014 Posts 368 Reaction score 222 Sep 16, 2015 #1 Wakuu habari nauza. kiwanja kipo kiluvya kwa komba kina ukubwa wa Mita 40 kwa 23 Maji na umeme vipo. Kipo kwenye ramani ya kijiji . Bei 8M Negotiable Mimi ni mmiliki halali wa kiwanja na sio dalali. Karibuni
Wakuu habari nauza. kiwanja kipo kiluvya kwa komba kina ukubwa wa Mita 40 kwa 23 Maji na umeme vipo. Kipo kwenye ramani ya kijiji . Bei 8M Negotiable Mimi ni mmiliki halali wa kiwanja na sio dalali. Karibuni