Nauza kiwanja changu Iringa kipo eneo la Mawelewele, kina ukubwa wa ekari moja, hati zote zipo.
Bei milioni kumi na tano(15mil) kipo karibu na barabara kuu mita 150 kutoka barabara kuu na km 14. kutoka Iringa mjini.
Nauza kiwanja changu Iringa kipo eneo la Mawelewele, kina ukubwa wa ekari moja, hati zote zipo.
Bei milioni kumi na tano(15mil) kipo karibu na barabara kuu mita 150 kutoka barabara kuu na km 14. kutoka Iringa mjini.
Hivi "kiwanja" na "uwanja" tofauti yake ni nini?
haya maneno huwa yananipa mtihani sana katika kuyatumia,wajuvi mtujuze,kwani kuuliza naamini si ujinga.