Kiwanja kinauzwa eneo la mingoi

Dinam

Senior Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
116
Reaction score
28
Kuna kiwanja eneo la daraja la kwanza la bagamoyo kina urefu wa heka moja na nusu
 
Mkuu Dinam ni vizuri ukiweka details za kiwanja,kama kimepimwa,kina nyaraka ipi halalishi,maji yako wapi to site,barabara zikoje,umeme vp,umbali toka bagamoyo road na wewe ndiye mwenye mali au la na mwisho bei yake ni kiasi gani?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…