mkuu nikuongezee tuu!kiwanja unachotaka kimepimwa?au hakijapimwa?umbali kutoka barabaran?gari inafika?pia budget yako ni kias gan?manake utapigiwa simu kumbe milion 200.rekebisha tangazo lako tafadhali
Kaka hukuona missed call zangu na sms that day?? Nilikupigia sana ili unipe mtu wako but huku-respond so nikaishia kwenda mwenyewe. Anyway, mi nlipata kwingine kwa 15m that day.
May be nkupe namba ya mtu wa kule uwasiliane nae direct kaka yangu.