Kiwanja Kibada Kigamboni.

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,943
Reaction score
9,457
Kiwanja kinauzwa Kibada Kigamboni! ukubwa sqmitter 1646
Bei 25ml
Kimepimwa kipo Block no 22.
Kwa mhitaji PM tupeane maelekezo zaidi
Asanteni.















3
 
Mbona mnakua wezi namna hiyo?
Kigamboni waliuza kwa Tshs 6,000/= kwa Sqr Mtr,
Kwa ukubwa huo bei ya Serikali ni kama 9,876,000/=, yaani hat kama ni kuweka faida but sio parefu namna hiyo,
Nyinyi ndio Mungu anawasubiri kwa hamu siku ya kiama,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…