Kitkat to Lollipop Updating

Ahsante sana mkuu kwa darasa,
Ningependa kufahamu kama baada ya kuflash ikashindwa kuwaka na inaishia kwenye TECNO BOOT LOGO, nifanyeje kuirudisha mwanzo kabisa?
 
Kuna wadau wananambia kwamba kuroot simu unapoteza usalama wa simu,,ni kwel au
 
Mkuu umetumia njia gani kuipata hio lollipop na Mimi ninatumia Tecno h6
 
Ahsante sana mkuu! Hatimae nimefanikiwa ku upgrade. Ila jana niliweka avg anti virus pro ika-detect malware which is cynagogen nikaidelete. Nika reboot matokeo yake simu ina pop up tu hai boot mpka leo. Nikijarbu ku hold volume up and power button hataki msaada plz!
 
Pole sana kwa tatizo hilo.
Chukua namba ya mawasiliano iliyokwenye makala uwasiliane moja kwa moja na muandaaji kwa msaada zaidi.

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…