Kitanda hiki naweza kukipata wapi hapa Dar?

Kawe kuna mafundi wengi sana wa vitanda bora na vyenye mvuto vya chuma
 
Usisahau kununua FIRST AID KIT make vitanda hivyo na majeraha ni mtu na nduguye!
 
Click metaltanzania instagram hautajutia hela yako.. wanatengeneza unavyotaka
ASANTE sana mkuu; lakini maskani wanakopatikana ni wapi? I mean ni sehemu gani hapa dar nataka niende physically
 
Mkuu sasa ukinunua
Hicho kitanda wakija,wagen wa2 wakike,na wakiume utawalaza hicho chumba
Kimoja cha wagen

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mkuu sasa ukinunua
Hicho kitanda wakija,wagen wa2 wakike,na wakiume utawalaza hicho chumba
Kimoja cha wagen

[Color= yellow]Triple A[/color]
Mmoja juu na mwingine chini

Sent from my TV
 
Unataka vingapi? Nicheck kw no. 0713118737

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo siku utataka mwanao akae kwenye dunia yake peke yake!
Hata makaburini marehemu wana majirani.
 
Nilikuwa na hostel nimeifunga dat's y nimekuuliza unataka vingapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…