Badili station
Couldnt help but laughing akhaa! mwenzio yu aleta kilio we waleta matani!
Sasa jamani kuepusha yote si ni vema ahamie Rfa kwa fred?
Teh
Badili station
Nihamie wapi sasa? Hivi vi-FM radio vya Dar ambavyo hata huku Yombo havisikiki? Au Radio Uhuru/TBC ambako karibu kila utakachosikia kinachefua?