mbisom ramos JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 812 Reaction score 396 Jan 7, 2015 #1 Natafuta kioo cha sony experia Z ofa yangu na Tsh 100000
mpinga shetani JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 3,234 Reaction score 959 Jan 7, 2015 #2 Sony Xperia ndizo simu bora duniani kwa sasa. Ingawa copy and paste bongos wako busy na Tecno, Samsung. Ila best kupata kioo kwa bei hiyo sijui
Sony Xperia ndizo simu bora duniani kwa sasa. Ingawa copy and paste bongos wako busy na Tecno, Samsung. Ila best kupata kioo kwa bei hiyo sijui
mbisom ramos JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 812 Reaction score 396 Jan 8, 2015 Thread starter #3 mpinga shetani said: Sony Xperia ndizo simu bora duniani kwa sasa. Ingawa copy and paste bongos wako busy na Tecno, Samsung. Ila best kupata kioo kwa bei hiyo sijui Click to expand... naweza kupata kwa kiasi gani!?
mpinga shetani said: Sony Xperia ndizo simu bora duniani kwa sasa. Ingawa copy and paste bongos wako busy na Tecno, Samsung. Ila best kupata kioo kwa bei hiyo sijui Click to expand... naweza kupata kwa kiasi gani!?
Chuck j JF-Expert Member Joined Jun 17, 2011 Posts 2,366 Reaction score 832 Jan 8, 2015 #4 Agiza mkuu,, baada ya 1week umepata.
mbisom ramos JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 812 Reaction score 396 Jan 8, 2015 Thread starter #5 Chuck j said: Agiza mkuu,, baada ya 1week umepata. Click to expand... ukiwa na maana niagize kutoka nje!? vp kwa bongo siwezi kupata?
Chuck j said: Agiza mkuu,, baada ya 1week umepata. Click to expand... ukiwa na maana niagize kutoka nje!? vp kwa bongo siwezi kupata?
mpinga shetani JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 3,234 Reaction score 959 Jan 8, 2015 #6 mbisom ramos said: ukiwa na maana niagize kutoka nje!? vp kwa bongo siwezi kupata? Click to expand... Vipo. Nenda Anisuma traders Haidery Plaza au Sony World Mlimani City. Ila kwa hiyo bei nina mashaka. Lazima itakuwa juu
mbisom ramos said: ukiwa na maana niagize kutoka nje!? vp kwa bongo siwezi kupata? Click to expand... Vipo. Nenda Anisuma traders Haidery Plaza au Sony World Mlimani City. Ila kwa hiyo bei nina mashaka. Lazima itakuwa juu
B bestunlocksolution22 Member Joined Jan 7, 2015 Posts 85 Reaction score 3 Jan 8, 2015 #7 unatafuta KIOO (LCD) ya Xperia Z au unatafuta TOUCH ya Xperia Z maana hivyo ni vitu viwili tofauti...
unatafuta KIOO (LCD) ya Xperia Z au unatafuta TOUCH ya Xperia Z maana hivyo ni vitu viwili tofauti...
mbisom ramos JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 812 Reaction score 396 Jan 8, 2015 Thread starter #8 bestunlocksolution22 said: unatafuta KIOO (LCD) ya Xperia Z au unatafuta TOUCH ya Xperia Z maana hivyo ni vitu viwili tofauti... Click to expand... touch ya Experia Z
bestunlocksolution22 said: unatafuta KIOO (LCD) ya Xperia Z au unatafuta TOUCH ya Xperia Z maana hivyo ni vitu viwili tofauti... Click to expand... touch ya Experia Z
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,784 Reaction score 145,597 Jan 8, 2015 #9 mpinga shetani said: Sony Xperia ndizo simu bora duniani kwa sasa. Ingawa copy and paste bongos wako busy na Tecno, Samsung. Ila best kupata kioo kwa bei hiyo sijui Click to expand... Ukisema simu bora bila kuweka kigezo ni sawa na kusema "wimbo fulani ndio wimbo bora kabisa duniani sasa hivi". Sony Xperia ni simu bora kabisa kwa kigezo gani?
mpinga shetani said: Sony Xperia ndizo simu bora duniani kwa sasa. Ingawa copy and paste bongos wako busy na Tecno, Samsung. Ila best kupata kioo kwa bei hiyo sijui Click to expand... Ukisema simu bora bila kuweka kigezo ni sawa na kusema "wimbo fulani ndio wimbo bora kabisa duniani sasa hivi". Sony Xperia ni simu bora kabisa kwa kigezo gani?
memeapa Senior Member Joined Apr 27, 2014 Posts 151 Reaction score 58 Jan 15, 2015 #10 Nenda posta mtaa wa chagga na libya,karibu na shelly ya mafuta kuna wahindi wanadeal na issue kama yako, ila kwa iyo bei nna mashaka kama utapata huduma unayohitaji.
Nenda posta mtaa wa chagga na libya,karibu na shelly ya mafuta kuna wahindi wanadeal na issue kama yako, ila kwa iyo bei nna mashaka kama utapata huduma unayohitaji.
M miikky Member Joined Aug 10, 2014 Posts 31 Reaction score 0 Jun 18, 2016 #11 bestunlocksolution22 said: unatafuta KIOO (LCD) ya Xperia Z au unatafuta TOUCH ya Xperia Z maana hivyo ni vitu viwili tofauti... Click to expand... Touch ya Xperia Z Mkuu nimesikia inauzwa 35000 Kuna unwell hapo ?
bestunlocksolution22 said: unatafuta KIOO (LCD) ya Xperia Z au unatafuta TOUCH ya Xperia Z maana hivyo ni vitu viwili tofauti... Click to expand... Touch ya Xperia Z Mkuu nimesikia inauzwa 35000 Kuna unwell hapo ?