E Enno Temba Member Joined Sep 30, 2015 Posts 29 Reaction score 6 Nov 10, 2020 #1 Kijana wa kunyoa anahitajika, awe msafi, ajue kunyoa style zote, Awe mkazi wa Moshi. Ofisi zipo KCMC Moshi. Kama una hizo sifa au unamfahamu mtu mwenye hizo sifa tuwasiliane. 0755982500
Kijana wa kunyoa anahitajika, awe msafi, ajue kunyoa style zote, Awe mkazi wa Moshi. Ofisi zipo KCMC Moshi. Kama una hizo sifa au unamfahamu mtu mwenye hizo sifa tuwasiliane. 0755982500
Samwel Jr JF-Expert Member Joined May 9, 2020 Posts 1,362 Reaction score 960 Nov 10, 2020 #2 Utamlipa kijana wa watu kweli?
S Saveya JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 3,604 Reaction score 3,690 Nov 10, 2020 #3 Ngoja nikucheki
Kamnyomo Senior Member Joined Apr 4, 2020 Posts 123 Reaction score 180 Nov 10, 2020 #4 Mie najua kunyoa mpaka nakera ila nipo DSM
E Enno Temba Member Joined Sep 30, 2015 Posts 29 Reaction score 6 Nov 11, 2020 Thread starter #5 Samwel Jr said: Utamlipa kijana wa watu kweli? Click to expand... 200k
Samwel Jr JF-Expert Member Joined May 9, 2020 Posts 1,362 Reaction score 960 Nov 11, 2020 #6 Enno Temba said: 200k Click to expand... Ushampata
Troll JF Platinum Member Joined Feb 6, 2015 Posts 9,322 Reaction score 13,765 Nov 11, 2020 #7 Check na Japhari Maiko au Godbless Lema
E Enno Temba Member Joined Sep 30, 2015 Posts 29 Reaction score 6 Nov 11, 2020 Thread starter #8 Samwel Jr said: . Ushampata Click to expand... Bado
Samwel Jr JF-Expert Member Joined May 9, 2020 Posts 1,362 Reaction score 960 Nov 11, 2020 #9 Enno Temba said: Bado Click to expand... Mfano akiwa mbali mkuu vip
muyakb24 JF-Expert Member Joined Jul 31, 2018 Posts 412 Reaction score 296 Nov 11, 2020 #10 Enno Temba said: 200k Click to expand... Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k
Enno Temba said: 200k Click to expand... Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k
Samwel Jr JF-Expert Member Joined May 9, 2020 Posts 1,362 Reaction score 960 Nov 11, 2020 #11 muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k Click to expand... Wewe unajua sehemu wanafanya hivo mkuu
muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k Click to expand... Wewe unajua sehemu wanafanya hivo mkuu
muyakb24 JF-Expert Member Joined Jul 31, 2018 Posts 412 Reaction score 296 Nov 11, 2020 #12 Samwel Jr said: . Wewe unajua sehemu wanafanya hivo mkuu Click to expand... Zipo nyingi tu kama saloon yake hiko matakoni mwa dunia wateja kumi kwa siku alafu wa buku buku sawa Anaweza lipa hivyo
Samwel Jr said: . Wewe unajua sehemu wanafanya hivo mkuu Click to expand... Zipo nyingi tu kama saloon yake hiko matakoni mwa dunia wateja kumi kwa siku alafu wa buku buku sawa Anaweza lipa hivyo
Kv-london JF-Expert Member Joined Jan 24, 2014 Posts 2,891 Reaction score 5,063 Nov 11, 2020 #13 muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k Click to expand... Saloon nyingi hawalipwagi wanajilipa wenywe but boss anaweka pesa yake anayoitaka kutokana na location ya office Atleast 10000 per day Then barber atalipa Maji,umeme na office cosmetics zake anazozitumia boss yeye alipa pango
muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k Click to expand... Saloon nyingi hawalipwagi wanajilipa wenywe but boss anaweka pesa yake anayoitaka kutokana na location ya office Atleast 10000 per day Then barber atalipa Maji,umeme na office cosmetics zake anazozitumia boss yeye alipa pango
Samwel Jr JF-Expert Member Joined May 9, 2020 Posts 1,362 Reaction score 960 Nov 11, 2020 #14 muyakb24 said: Zipo nyingi tu kama saloon yake hiko matakoni mwa dunia wateja kumi kwa siku alafu wa buku buku sawa Anaweza lipa hivyo Click to expand... aisee kumbe embu niunganishe na moja bc mkuu
muyakb24 said: Zipo nyingi tu kama saloon yake hiko matakoni mwa dunia wateja kumi kwa siku alafu wa buku buku sawa Anaweza lipa hivyo Click to expand... aisee kumbe embu niunganishe na moja bc mkuu
E Enno Temba Member Joined Sep 30, 2015 Posts 29 Reaction score 6 Nov 12, 2020 Thread starter #15 muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Ang Click to expand... muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k Click to expand... Walipatikana vijana tano nimechukua wawili wamebaki watatu na wana sifa pia, niunganishie basi hapo wanapolipoa 500k kwa mwezi tuwasaidie. Asante.
muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Ang Click to expand... muyakb24 said: Hela ndogo sana hiyo Umlipe mwenzako kwa mwezi 200K Angakau 500k Click to expand... Walipatikana vijana tano nimechukua wawili wamebaki watatu na wana sifa pia, niunganishie basi hapo wanapolipoa 500k kwa mwezi tuwasaidie. Asante.