Kingwendu huyu hapa

Maigizo yanatofautiana sana na realities
 
A kufikiria ni maigizo, kumbe kalambishwa galasa.

Jamani nisaidieni huyu mrema wa register ya mahakama ya appeal ni nani hapa arusha? Anatesa watu sana ebu nisaidieni nani yuko nyuma yake. Kwanza anafanya kazi kwa kupenda. Mbili anairikadi ya kisiasa ndani ya ofisi ya serikali. Nijuzeni kama mnamfahamu.
 
Dah jamaa kidogo angetoboa mjengoni Sema bongo movies wenzie hata support hakuna ila kwenye kumpa pole na kumsifu kwa uthubutu basi walitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…