TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,285
- 27,977
Kitendo cha huyo kamanda wa bunda aliyeshinda kura za maoni kupisha Esther, inaonyesha uchaguzi ndani ya chama hicho haukuambatana na rushwa vile vile kwa sasa Chadema /ukawa ni wamoja kupita maelezo.
CCM wanapenda sana kuingilia mambo yasiyowahusu.
Mwaka huu ndio mwisho wapi.
Mkuu huyo Mzee ni kumzoa kwa kimbunga bila kumuangalia usoni maana unaweza kumuonea huruma
Hii tabia ya kuendekeza siasa za kueneza uchochezi, kashfa, chuki na matusi haiwasaidii na kamwe haitowaidia kitu. Kaeni mkijua kuwa nyie na familia zenu na koo zenu hamna immunity ya madhara yatokanayo na tabia kama hizi za kwenu. Hii ni nchi ya watanzani na sisi wote ni watanzania hakuna maukawa wala maccm.
afu uongo mtupu subilin mje muone wakurya hawatawaliw na mwanamke
Zilikuwa enzi hizo ,,watu sahv wamebadilika ndugu yangu,,acha kuishi kwa kukalili
itafahamika tu mwaka huu mwisho wenuWakuu ccm inakata roho kwa tabu sana labda sijui kwa sababu ya madhambi iliyotenda?! Katika jimbo la mwibara kangi aliwanunua washindi wa pili, tatu,nk ktk kura za maoni za udiwani chadema pamoja na viongozi wa chadema wa eneo hilo ili wagombea hao walioshindwa wakachukue form ya kugombea udiwani, cha ajabu mkurugenzi kawapa form lakin kilichotokea ni shida! Makanda wamekinukisha hadi ikabidi wagombea halisi ndo wapewe form na wale mamluki kutenguliwa. Kipindi wanachonga huo mchongo wao kama kawaida makamanda walikuwa wanawachora tu na hako kamchezo kao wakarekodi hadi clip za video ambazo zilitumwa makao makuu ya chama nacho chama kimeshachua hatua kimewaengua karibia viongozi wa eneo hilo.
Kasheshe lingine lilikuwa pale bunda, katika hali ya kushangaza na kutia aibu makada wa ccm walienda kwa mkurugenzi kuzuia esther bulaya asipewe form ya kugombea ubunge, madai yao eti kwa nini apewe aliyeshika nafasi ya tatu aachwe wa kwanza?! Aisee palichimbika kwelikweli pamoja na kwamba aliyeshika namba 1 alikuwepo pale na alisisitiza wao chadema ndo wameamua hivyo sasa wao ccm kinawauma nini?! Lakin maccm yaliendelea kukomaa hadi ikabidu waitwe wanasheria kuja kufafanua hayo mambo kisheria ndipo maccm yakanywea na Esther akachukua form.
Mkuu hapa bunda bulaya anakubalika mno, yaani hata angegombea kwa ccm angetushinda chadema, nashukuru ccm kwa kumuwekea mizengwe mapema nae bila ajizi akajiunga nasi, atashinda asubuhi tu
Hawakawii hata kuingilia zoezi la kuhesabu kura na kutoa matokeo.CCM wanapenda sana kuingilia mambo yasiyowahusu.
Mwaka huu ndio mwisho wapi.
afu uongo mtupu subilin mje muone wakurya hawatawaliw na mwanamke
Cha muhimu mchungeni Wassira ni mtaalamu wa kuchakachua na kuhonga, mkimpa mwanya mtalia.
Drama za Bavicha...
What? Ngoja kwanza, unamaanisha ule msemo kuwa "Unapotaka kumuua .......... usimuangalie usoni au?"