Nakuunga mkono ndugu yangu mmasai, kama kweli yeye ni kiongozi makini afanye hivyo, nawapongeza pia wahisani kwa hatua yao ya kutusaidia kupunguza pengo kati ya wakina kikwete na sisi watu wakawaida, labda safari za bwana mkubwa zitapungua ili walau watu wake nao wajue ugumu wa maisha yetu watanzania. HUREE WAHISANI