Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
na wazazi nao wanaplay part kubwa nafikiri ukimpa malezi mtoto yanayotakiwa na kuhakikisha anahudhuria nyumba za ibada kila mara sidhani kama unaweza patwa na hiliDah! hii inasikitisha imagine kama ni katoto kako ama ni mdogo wako..... mi nadhani hapa na serikali haiko makini na sheria zake maana hawa waliokafuata wangeshitakiwa kwa kubaka.... huu ni ubakaji kabisa.
Mambo mengine unashindwa hata la kuongea.....
Mi wala simlaumu binti ..nyinyi wanaume hamjiulizi? huyo ni kama mtoto wenu, msingemtongoza wala yasingemkuta angejiona bado mdogo, sometimes tujiangalie na sisi..kweli wanaume mtatumalizia watoto.
na wazazi nao wanaplay part kubwa nafikiri ukimpa malezi mtoto yanayotakiwa na kuhakikisha anahudhuria nyumba za ibada kila mara sidhani kama unaweza patwa na hili
kamanda mkubwa sana huyo! unaweza pata "kontakti" zake nimpe ushauri?Bandugu, hapa mtaani kwetu kuna kabinti kanatia fora kwa kuchukua waume za watu pamoja na kutoa uroda dezo dezo. Ni kadogo sana, umri wake n miaka 16 tu bt matendo yake utadhani mtu mzima. Ni majuzi tu kafumaniwa akila uroda na dingi kitambi mme wa mtu akapelekwa polisi kuonywa, sasa jana katoa kali ya mwaka kwa kugonganisha polisi na askari jeshi na kusababisha ugomvi mkubwa. Je huko mnapoishi watu wa aina hii wapo? Kwa kweli mtoto kakubuhu!