Kibajaji

ujumbe aliokusudia umefika ingawa amekosea kuandika
 
Shule wanaikimbia wakati mwingine inasaidia. Sasa alie andika na yeye ni walewale. Na mwenye bajaji hali kadhalika. Labda ana maana nyingine. Baada ya pumzika kwa amani.
 
Bben2 nawe shule yako inashaka. Ulimaanisha baada ama badala? Kiswahili mzee nni shidaaaaaaa kuzidi hii lugha iliyokuja kwa majahazi na ndege!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
tatizo kusikia maneno bila kujua yanaandikwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…