Nimeshangazwa
na utaratibu wa kiwizi na kulindana unaotengenezwa na sirikali ya CCM
kupitia kwa mteule wa rais mh Rudovick Utouh kuwa taarifa zote za
ukaguzi zianzie kwake na kisha wizarani then ndo ziende
bungeni.
Hivi toka lini mimi nikukague wewe sirikari then uwe wa
kwanza kupokea riport then uipeleke ktk chombo/ muhimili mwingine (
bunge) ndo waujadili
Kuna nini hapo katikati? Au mnataka kutwambia nn vile
vimemo vya kupokea ugeni na misafara yako mkaviondoe au zile posho za
vikao hewa
ni hitaji la kisheria
Nimeshangazwa na utaratibu wa kiwizi na kulindana unaotengenezwa na sirikali ya CCM kupitia kwa mteule wa rais mh Rudovick Utouh kuwa taarifa zote za ukaguzi zianzie kwake na kisha wizarani then ndo ziende bungeni.
Hivi toka lini mimi nikukague wewe sirikari then uwe wa kwanza kupokea riport then uipeleke ktk chombo/ muhimili mwingine ( bunge) ndo waujadili
Kuna nini hapo katikati? Au mnataka kutwambia nn vile vimemo vya kupokea ugeni na misafara yako mkaviondoe au zile posho za vikao hewa