It is so sad,
Kwa kweli hii kesi inautata mwingi sana but hili la kukimbiza gari badala ya watoto mhh???
Ufunguo wa gari ulikuwa wapi?
Lakini pia yawezekana mambo ya ukata aliokuwa nao, akili ilimpeleka moja kwa moja kwa kile alichokuwa anaona ndio mali aliyo nayo tu, na akitegemea kuwa angeweza kuwahi kubeba watoto kumbe huku nyuma moto ukawa umezidi.
Kuna mafuriko yametokea hapa bongo mama mmoja kakimbiza TV kaacha mtoto kitandani, kurudi mtoto kisha CHUKULIWA NA MAJI.
Sijui huwa akili zinakutoka ukipata janga hata sielewi maana huyu mama ingekuwa ulaya sijui angeshtakiwa kwa kuua makusdi? Nashindwa kuelewa.