game over tujadilie budget Kwanza kabla tubishane just ya njaa Kenya na njaa Tz watu wakila kinyesi na utapia mlo. Wacha wivu bana $30b vs $14b huoni tuko double your economy upende usipende?
game over tujadilie budget Kwanza kabla tubishane just ya njaa Kenya na njaa Tz watu wakila kinyesi na utapia mlo. Wacha wivu bana $30b vs $14b huoni tuko double your economy upende usipende?
Sishangai kwa budget kuwa double. Coz everything in Kenya is double the price. The SGR, the roads, everything is double priced to con an ordinary Kenyan...
game over tujadilie budget Kwanza kabla tubishane just ya njaa Kenya na njaa Tz watu wakila kinyesi na utapia mlo. Wacha wivu bana $30b vs $14b huoni tuko double your economy upende usipende?
Asa budget kubwa yote still mna wafa njaa miaka nenda miaka rudi?!
Budget kubwa yote still madaktar wagomaji?!
Kweli Kenya ina misuse public funds indeed!
Maana hyo budget mlitakiwa mupunguze njaa na muzuie madaktar kugoma!