Samahanin wakuu,jana usiku kwenye mida ya saa 2 nilikua nimejibanza kwenye ukuta wa moja ya block maarufu hapa mabibo hostel ambapo watu huwa wanapenda kwenda kukaa na kupga story mbili tatu,mara nkackia wadada wawil wanapga story zao,mmoja akawa anamuambia mwenzie hivi ''shost ka haisimami haraka,we chukua asali then mpakae afu uwe ka unailamba,nakwambia atapiga kelele mwenyewe na kamwe hatakusahau ktk maisha yake,kwan c unaona me wangu alivyo niganda,ndo utundu huo nakuibia shost wangu'' bac me nkajifanya kupga chafya ili kuwakatiza maongezi yao!sasa wakuu,ebu tuambiane asali nayo huwa ni lubricant ktk majamboz?