A Angel Suzie Member Joined Dec 27, 2015 Posts 68 Reaction score 15 Jan 26, 2017 #1 Kazi Ipo Dar Usafi. Tuma SMS na jina, kazi Usafi, namba ya simu, Umri, Unaishi wapi. Ahsanteni. 0762010200.
Kazi Ipo Dar Usafi. Tuma SMS na jina, kazi Usafi, namba ya simu, Umri, Unaishi wapi. Ahsanteni. 0762010200.
xaidjr JF-Expert Member Joined May 29, 2016 Posts 392 Reaction score 468 Jan 26, 2017 #2 Nakupigia sasa hivi
I Iron age Member Joined Jan 20, 2017 Posts 12 Reaction score 2 Jan 26, 2017 #3 Naruhusiwa kukupigia au ni kutuma SMS tu?
A Angel Suzie Member Joined Dec 27, 2015 Posts 68 Reaction score 15 Jan 26, 2017 Thread starter #4 xaidjr said: Nakupigia sasa hivi Click to expand... Karibu sana kaka ahsante
A Angel Suzie Member Joined Dec 27, 2015 Posts 68 Reaction score 15 Jan 26, 2017 Thread starter #5 Iron age said: Naruhusiwa kukupigia au ni kutuma SMS tu? Click to expand... sms au call ni sawa ahsante
Iron age said: Naruhusiwa kukupigia au ni kutuma SMS tu? Click to expand... sms au call ni sawa ahsante
nusuhela JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 6,274 Reaction score 7,774 Jan 26, 2017 #6 Angel Suzie said: Kazi Ipo Dar Usafi. Tuma SMS na jina, kazi Usafi, namba ya simu, Umri, Unaishi wapi. Ahsanteni. 0762010200. Click to expand... Hii ni kampuni ya usafi imeanzishwa au ni mtu binafsi?
Angel Suzie said: Kazi Ipo Dar Usafi. Tuma SMS na jina, kazi Usafi, namba ya simu, Umri, Unaishi wapi. Ahsanteni. 0762010200. Click to expand... Hii ni kampuni ya usafi imeanzishwa au ni mtu binafsi?
A Angel Suzie Member Joined Dec 27, 2015 Posts 68 Reaction score 15 Jan 26, 2017 Thread starter #7 nusuhela said: Hii ni kampuni ya usafi imeanzishwa au ni mtu binafsi? Click to expand... Hii ni kampuni ya usafi kaka, wanasafisha kila sehemu Dar
nusuhela said: Hii ni kampuni ya usafi imeanzishwa au ni mtu binafsi? Click to expand... Hii ni kampuni ya usafi kaka, wanasafisha kila sehemu Dar
saidi kalindura Member Joined Jan 26, 2015 Posts 41 Reaction score 13 Jan 26, 2017 #8 Mbona kama kuna harufu ya utapeli hapa siyo mwisho wa mazungumzo unaambiwa toa pesa kwa ajili ya kitu fulani..Waombaji kuweni makini nahisi harufu ya utapeli mtupu.maana hakuna jina la kampuni wala inapatikana wapi.mmh hizi njaa kazi ipo.
Mbona kama kuna harufu ya utapeli hapa siyo mwisho wa mazungumzo unaambiwa toa pesa kwa ajili ya kitu fulani..Waombaji kuweni makini nahisi harufu ya utapeli mtupu.maana hakuna jina la kampuni wala inapatikana wapi.mmh hizi njaa kazi ipo.