Jamani sukumeni karatasi tuu, mengine iachieni process itaamua. Mkiwa na hizi mentality..ni kweli kwamba watoto wa mafisadi watazidi kupeta. Just send your docs. You have nothing to lose. Maana naamini kuna kipindi na wao wanafika wanaona aibu..hawawezi kuchukua watoto wa mafisadi tuu..watachanganya hata na mtoto mmoja wa mkulima. Who knows? It might be you or me!
Try your luck!