Katika ulimwengu huu wa tiba unasumbuliwaje na kaswende?acha kujitibu uchochoroni nenda hospitali onana na wataalamu pata tiba sahihi!baada ya hpo ACHA MICHEPUKO!
Upo wapi?
Duh! Pole sana!
ikisha kuwa sugu hiyo na kwenda kichwani haina dawa
Ndugu hopitalini huko ndo nimeambulia sindano na vidonge ila tatizo kama lilipoa tu. Hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako.
Tiba sahihi kwako ni kuotesha sample ili kupata dawa sahihi!kuna mshikaji wangu ilibidi apewe dozi ya mbwa !
Ndugu hopitalini huko ndo nimeambulia sindano na vidonge ila tatizo kama lilipoa tu. Hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako.
Nenda hospital ukatibiwe,pia kama uko mbali na kituo cha afya muone tabibu mwambie akudunge sindano ya Benthazin penicillin ni kiboko kwa magonjwa hayo,pia kama hutapata nafuu ntafute ninadawa nzurisana ya asili inayotibu tatzo hilo kwa mda wa wikimbili(2)tu,unakuwa ukosafi kabisa.
Nenda hospital ukatibiwe,pia kama uko mbali na kituo cha afya muone tabibu mwambie akudunge sindano ya Benthazin penicillin ni kiboko kwa magonjwa hayo,pia kama hutapata nafuu ntafute ninadawa nzurisana ya asili inayotibu tatzo hilo kwa mda wa wikimbili(2)tu,unakuwa ukosafi kabisa.