Kuna sehemu ukitoka ikuti(mbutonga) kuelekea luswisi pana kona kali wanaiita "kona ya Mkoa"!!!Kona iko mlimani na inakata hadi nyuzi 270-330 hivi,zamani pakiwa na mvua na usafiri wa 109 (imechokaaa),abiria wenye roho nyepesi mnashuka mnaikuta gari mbele huko!!Ukikaa luswisi au sange unaiona mandhari ya tukuyu na kyela kwa uzuri mno.......natamani nipite tena ILEJE
Ughwe ghwe kaki muli?Ileje here I come.....kuna yeyote angependa kunipa company ya kwenda Ileje?
Ila kijiji cha isoko kipo fresho umeme wanao huduma za afya fresh usafiri kwenda tunduma fuso hahahahaha sijui hadi leo bado wanatumia fuso nakumbuka fuso yenyewe ilikuwa imeandikwa tolonto watu wa huko wanajua fuso zote ni tolonto!
Sio Ruswisi ni Luswisi mkuummmhhh mmeamua mnikumbushe mbali sana, ng'ombe wa mnadani Katengele, mjini Isoko.
Nakukumbuka sana Katengele nimewahi kwenda huko miaka ya 1999, kupitia Tukuyu, KKK, Lugombo, Chuo Magereza Kiwira, Ikuti, Ruswisi, Sange hadi Katengele baadaye tukaenda Isoko na tukarudi Mbeya mjini kwa kupitia Tunduma, dah mmenikumbusha mbali, sana sana na baridi ya huko. That was so nice journey to me..
Sio Ruswisi ni Luswisi mkuu
Bwana nimepita sehemu hizo na nikakuta barabara karibu ipotee kabisa,baada ya mvua gema likaporomoka na kukata barabara kwa nusu.
Iliwachukua hao vijana karibu nusu saa kuniconvince kupita-wakatania "wazee hawana ubaya na wewe".
Lakini huko ukiwa na roho nyepesi na udereva wa Dar hupiti.View attachment 35917
Hivi hii safari ilitekelezwa?shemeji bana.......hebu tulia kidogo......
Hivi hii safari ilitekelezwa?
Hiyo baridi iliyoko Ileje haishindi ya Kitulo - Makete Mkuu. Kuna baridi huko mpaka maji yanageuka jiwe la barafu.Afrodenzi siyo uongo, hapo nikipiga picha ilikuwa around saa 8 mchana lakini ilibidi nikimbilie kwenye gari baada ya kupiga picha.
Its so cold
Pale ni temperate climate na hayo majani yana vumilia freezing point(below 0 degress).
Wakati wa baridi huwa kuna theluji hapo-miti inakauka.
Ileje here I come.....kuna yeyote angependa kunipa company ya kwenda Ileje?
Hapana mkuu, kuna uzushi ulisambazwa kuwa kule ni kwenu, bahati mbaya msemaji wako akasahau kukanusha ili raia tuupuuze.hivi ilikuwaje.....ilikuwa tunaenda au............?.......
Hapana mkuu, kuna uzushi ulisambazwa kuwa kule ni kwenu, bahati mbaya msemaji wako akasahau kukanusha ili raia tuupuuze.
Heshima yako lakini.
I understand! And 4 sure you know that I miss you too! Karibuuuuha ha ha.......miss you tho......nini shida......wapi tatizo..............?