Kampala international university

V
Umechaguliwa kozi gani mkuu ??
ip
UOTE="catecholamine, post: 17762931, member: 376510"]Umechaguliwa kozi gani mkuu ??[/QUOTE]
We
Kwenye guide book inaonyesha loan ni 3.1 mil so its true unatakiwa kuongeza 700,000
 
Unajua kwanini udom imefungiwa ?? Kama ulikua hujui ni bodi ya ukaguzi Africa mashariki ndio walipita wakakagua vyuo vyote vya afya ,na kutoa mapendekeze vyuo vilivyokuwa na mapungufu makubwa vifungwe , TCU hawakukurupuka tu kijana
Sis tunasoma hapo !!na siasa zipo ndan yake pia haiwezekan et wafungieee et sabb maabara a.c hazifanyi kaz!!na sshv zimewekwa, baada yakupewa miez sita kurekebisha na kutofanya hvyo wakachukua uamuz wakufungia !!bt na siasa pia zipo ndan yake
 
Sis tunasoma hapo !!na siasa zipo ndan yake pia haiwezekan et wafungieee et sabb maabara a.c hazifanyi kaz!!na sshv zimewekwa, baada yakupewa miez sita kurekebisha na kutofanya hvyo wakachukua uamuz wakufungia !!bt na siasa pia zipo ndan yake
Kumbe hata uelewi unachozungumza ,, wafungie kudahili wanafunzi kisa A.C hazifanyi kazi maabara
? Kumbe hata sababu huzijui em fuatilia , au uliza ujuzwee
 
V

ip
UOTE="catecholamine, post: 17762931, member: 376510"]Umechaguliwa kozi gani mkuu ??
We


Kwenye guide book inaonyesha loan ni 3.1 mil so its true unatakiwa kuongeza 700,000[/QUOTE]
Guide book
 
Updated guide book inaonesha hivi
 

Attachments

  • 1474716041487.jpg
    94.2 KB · Views: 40
Kumbe hata uelewi unachozungumza ,, wafungie kudahili wanafunzi kisa A.C hazifanyi kazi maabara
? Kumbe hata sababu huzijui em fuatilia , au uliza ujuzwee
Kama unajua ww sema hapa utujuze!! Ndyo maana nikaweka neno "et".wanadai hvyo bt sifikirii hvyo!!haiwez kuwa sbb !!km unajua tell us
 
Naomba mwenye ufahamu na hiki chuo, mazingira, gharama za maisha,hostel na hadhi ya elimu inayotolewa kwa sasa anijuze...pia kama ukiwa na picha ya mazingira yake mnaweza kuweka...
Chuo kipo gongolamboto mwisho, cost of living is affordable coz wananchi wengi wa gongolamboto ni wamaisha ya kawaida tuu, on campus hostel ipo kwa Wasichana na zingine nyiingi kwa male and females zipo nje.. pamoja na vyumba vya kupangisha pia vinapatikana kwa cost poa... mazingira ni mazuri saana tu kwa kusomea ukifika huta regret.... karibu KIU.
 
Tukikariri GuideBook iliyopita Basi Utakutia Kuwa Mkopo Wanakupa 3.1M, Lakini Kwenye GuideBook Ya Marahii Mkopo Wanaokupa ni 1.6M tu! Zilizobakia Kwenye 3.8M unaongezea Mwenyewe.
 
Tukikariri GuideBook iliyopita Basi Utakutia Kuwa Mkopo Wanakupa 3.1M, Lakini Kwenye GuideBook Ya Marahii Mkopo Wanaokupa ni 1.6M tu! Zilizobakia Kwenye 3.8M unaongezea Mwenyewe.
Hiyo wanaandika tu ,, ila kozi zote za afya (MD, Bpharm, BMLs) wanapewa tuition fee sawa ambayo 3,100,000 kwa mwaka ,,kama una jamaa KIU uliza atakujuza.. Hivyo kozi za Bpharm na BMLs wanaongeza 700,000 tu kwa mwaka...
 
Ingia tcu udownload guide book iliyopo sasa hiv ambayo ni updated utaona mikopo mipya wanayotoa!!
Tukikariri GuideBook iliyopita Basi Utakutia Kuwa Mkopo Wanakupa 3.1M, Lakini Kwenye GuideBook Ya Marahii Mkopo Wanaokupa ni 1.6M tu! Zilizobakia Kwenye 3.8M unaongezea Mwenyewe.
 
shida usilete jf maana utakandiwa mpk uchanganikiwe waulize nini ubaya wa chuohiko??
 
Sawa mkuu umesikika, lakini nakumbuka kulikuwa na mgogolo Mkumbwa wa serikali na wanafunzi wanaograduate hapo kuwa wizara haiwatambui. Anyway Pengine ulikuwa ni uzushi
Sio kweli KIU haijafungiwa , na pia haijawahi kutoa kozi ya uuguzi .. Hivyo kama hujui kitu ni bora kunyamaza kuliko kuandika usichokijua
 
Et Ada ya pharmacy bei gani bro nataka nije apo 0719848353
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…