Kamata fursa hii

Milale

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
494
Reaction score
189
Kama wewe ni kijana na hauna kazi yyot y kuingza kipato na hauchagui kazi karb nikupatie fursa bila kujari elimu yako wala umr wako p
 
Kwakuwa kazi yenyewe imekuwa ni ya SIRI nzito labda pia ungetuambia je tukija ktk INTERVIEW tubebe kabisa mafuta ya mgando na mipira ya kiume au ya kike?
Hahahahaha dah we jamaa bhana sijui umefikilia nini aiseee
 
Hahahahaha dah we jamaa bhana sijui umefikilia nini aiseee

Wewe unadhani penye SIRI huwa kuna nini kama siyo tu KUVUNJIANA mayai viza kwa akina siye VIDUME na kwa Dada zetu KUPIGWA tu MIHURI ya Kibaiolojia?
 
Kwakuwa kazi yenyewe imekuwa ni ya SIRI nzito labda pia ungetuambia je tukija ktk INTERVIEW tubebe kabisa mafuta ya mgando na mipira ya kiume au ya kike?
Hahahahaha
 
Kama wewe ni kijana na hauna kazi yyot y kuingza kipato na hauchagui kazi karb nikupatie fursa bila kujari elimu yako wala umr wako pg. No 0714702720

Ungefafanua kidogo mkuu kwamba ni kazi gani na mnapatikana wapi (mkoa gani)
 
Mmmh kweli maana tanzania kwa sasa ni balaa kidogo mkuu ni bora useme kabisa usije ukawa unataka kutufundisha jinsi ya kukwepa mabom pindi ukituamuru kuingia barabarani kugomea matokeo ya ychaguziπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…