dah majungu sio mtaji
Jamani mi mwenyewe nilijua Banza kafa, leo nimemuona anahojiwa na Salama Jabir kipindi cha mikasi ile channel ya movie za bongo DSTV. Au walikuwa wanarudia kipindi cha miaka ya nyuma? Banza kasema kashazoea kufa maana kashauliwa kama mara nne hivimajungu sio mtaji
uuzee ubadilikeeee
ukiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu ujingaaaa(RIP Ramadhan Masanja aka Banza stone)
Hili la kufa ndo nalisikia kwenuJamani mi mwenyewe nilijua Banza kafa, leo nimemuona anahojiwa na Salama Jabir kipindi cha mikasi ile channel ya movie za bongo DSTV. Au walikuwa wanarudia kipindi cha miaka ya nyuma? Banza kasema kashazoea kufa maana kashauliwa kama mara nne hivi
Jamani mi mwenyewe nilijua Banza kafa, leo nimemuona anahojiwa na Salama Jabir kipindi cha mikasi ile channel ya movie za bongo DSTV. Au walikuwa wanarudia kipindi cha miaka ya nyuma? Banza kasema kashazoea kufa maana kashauliwa kama mara nne hivi
SeriouslyHili la kufa ndo nalisikia kwenu
Jamani banza mbona kishafariki hiyo itakua ya zamaniJamani mi mwenyewe nilijua Banza kafa, leo nimemuona anahojiwa na Salama Jabir kipindi cha mikasi ile channel ya movie za bongo DSTV. Au walikuwa wanarudia kipindi cha miaka ya nyuma? Banza kasema kashazoea kufa maana kashauliwa kama mara nne hivi
Huu ulikuwa ni utunzi mzuri sanamajungu sio mtaji
uuzee ubadilikeeee
ukiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu ujingaaaa(RIP Ramadhan Masanja aka Banza stone)
Kashakwambia kwenye mistari yake "Nakoseka na Bango nakolela Tee." yaani usimshikie Bango wakati yeye kashatusua.wadau kama nlivotanabaisha mwanzo kuwa jide ili atambe lazima amponde gadner.sasa anawiki ya 2 ametoa nyimbo inaitwa kama wao lakini cha ajabu yaweza pita masaa 72 bila kuisikia
hata efm hawaipigi hata ea radio
shoo yake ya moshi na arusha zilidoda mpaka akaona aibu kupost picha za matukio kwa wingi zaidi tuliishia kuona za matayarisho na akiwa stejini
lakini mbwembwe za ukumbi kujaa hapana
huyu dada ameisha sasa atulie tu au aebde kwa mwaka akasaidiwe
nadhani walikuwa wanarudia kipindi kumkumbuka. nimesearch you tube nimeona alizikwa July 18, 2015.. siku kama ya leoare u serious mkuu